Wimbi la Siasa

Wimbi la Siasa

Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa

00:00
00:00

Odcinki

247-

Hatima ya serikali ya umoja wa kitaifa visiwani Zanzibar

16 wrz 2026
246-

Kenya yatoa siku 90 kwa wageni wasio na vibali halali kuvitafuta

09 wrz 2026
245-

Mpango wa rais Tshisekedi kuhusu mazungumzo yatafanikiwa ?

02 wrz 2026
244-

DR Congo: Mvutano waendelea kuhusu mpango wa kuifanyia marekebisho katiba

19 sie 2026
243-

Kwanini kampeni za mapema zimeanza nchini Kenya, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ?

12 sie 2026